
Conrad na Justine ni vijana ambao kwa sasa wapo mwaka wa TATU na wa PILI katika vyuo vya DODOMA na St. JOHN, katika hali ya kushangaza vijana hao, wameanzisha mfomo wa kuwakopesha na kuwadhamini wanawake wajasiliamali wanaojikusanya katika makundi ya watu watano watano. wanawake hao, wanao patikana katika mtaa wa CHAMWINO katika Wilaya ya DoDOMA mjini, kweli hao ni vijana wa kuigwa katika hali ya kustajibisha kwa vijana walio wengi wa vyuoni hapa kwetu Tanzania wanao pewa Fedha za kujikimu na serikali wakati wa masomo yao ya juu na kuzitumia kwa kujirusha na kufanya Anasa zingine namwisho
kuishia kulalamika kuwa serikali haiwajali wanapo hitimu masomo yao.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni